Saturday, August 27, 2011

Raymond mkal wa freestyle aachia pini

Yule mkal wa freestyle tanzania aachia ngoma iliyofanyika pale mj recs.chin ya mkono wa kwake marco chal kushangaza zaid ngoma hyo mkal raymond kaimba mbali na masikio meng ya raia wakitaraji atashuka ni michano (rap).alipoulizwa kasema amefanya kutokana na force ya market

No comments:

Post a Comment