Friday, September 16, 2011

Jaman TANZANIA.majanga ya moto yataisha lini mbeya hatuna la zaidi.janga hili la moto linatuhuzunisha wengi hawa fire ndo hamna kitu.watu waliokuwepo mwanzo wanasema moto huo ungeweza kuzuiri bal uzembe wa zimamoto kwan gar ilifika haina maj ya kutosha

No comments:

Post a Comment